Posts

💡💡KWANINI HAWAFANIKIWI WAKIWA VIJANA 🤔🤔

 🔮🔮🔮 💡💡💡 Hili limekua swali langu, ambalo nimekua nikijiuliza mara nyingi saana na sikuwa napata majibu. Lakini nilipo endelea kujitathimini mwenyewe, kuna mambo ambayo nimeanza kujifunza.  Nadhani hata wewe utakua shahidi ya kwamba asilimia kubwa ya sisi vijana, watanzania, ni vigumu saana kumkuta kijana wa miaka 20 - 30 anamiliki mali za kutosha kiasi kwamba tumuite tajiri. Japo kwa sasa kumeanza kutokea mapinduzi, hatimae vijana wamekua na nafasi kubwa na kuwa katika orodha ya matajiri wanao chipukia. Lakini leo natamani nikushirikishe mambo ambayo yanawarudisha nyuma vijana wengi na kufanya wakachelewa kuyafikia mafanikio yao. 📅📝 💡💡 1. Vijana wanataka maendeleo yalio tayari. Ni wazi kwamba vijana tunapenda saana maendeleo, lakini tumeshindwa kua chachu ya maendeleo yenyewe. 💡 Huwezi fikia uchumi mkubwa kama utategemea mtu frani afanye jambo harafu wewe uende kufanya akiwa tayari amelifikisha mahar frani. Point yangu ni hii. Kijana kua mbunifu, na tafuta namna ya kuitatua

UNAWEZA KUFANYA MAKUBWA

 You're the best. Kuna watu wana tabia ya kujidharauu saana, wanajiona wanyonge mno na kujidharau kua hawawezi. Lakini nikwambie tuu  neno moja kwamba. Yule mtu ambae unamuona anafanya mambo makubwa leoo, sio kua alizaliwa anajua kila kitu, lakini alianza kwa kujiamin kua anaweza kufanya lolote, na akaanza kuifundisha akili yake iamini kua anaweza Nawewe pia unaweza anzia hapo ulipoo, unaweza kua namna yoyote ile unayo taka kua, jambo la msingi ni kujiamini tuu na kuamini kua wewe unaweza. Mambo yoote unayo yaona yanatokea duniani huanzia kwenye ufahamu na kisha huenda kwenye uhLisia kwa njia ya vitendoo. Hivyo hata wewe kama una wazo lolote ambalo unataka kulifanya, anzia hapo hapo na kidogo kidogo. Kumbuka ukitaka kwenda juu, lazima uanzie chini kwanza, hivyo usiogope kuanza mdogo mdogo. Unaweza kufanya mambo makubwa saana, wewe amini tuuu. By yusuph kapusi

WHERE TO INVEST ON THE AGE OF 20'S

As a young girl or boy, you have to know the areas that is suitable for you to invest. Today i'll show you the only three (3) important areas that you need to invest while you're on the age of twenty's (20's). As we know that we need to start investing while we are still young. Today i'll show you, what and where is the best Area for you to invest. 1. INEST IN YOURSELF. The most important thing while you're still in the agoe of 20's  invest in yourself, inorder to do that  you need to have a thirst of learning new thing every day, start learning boks from different outher. 2. INVEST IN BUILDING CONNECTIONS. The other important area to invest, is to invest in you community/sociaties, if you're  planing to create and design your future make sure you interact positively with people who surround's you, because you'll build the generation that they'll fit you in future, then make sure you interact with people as good azs you can. 3. INVEST IN YOUR